MAJUKUMU YA VIONGOZI.
1.MWENYEKITI/MAKAMU WAKE.
*Ndiye mhimili wa utendaji na msemaji mkuu wa GROUP.
*Kuongoza mijadala ktk mikutano na kupitisha na kuhidhinisha dondoo za mikutano.
* Kutoa uamuzi wa mwisho kadri ya busara yake pale mawazo yanapogongana.
*Kufuatilia itekelezaji wa maazimio ya mikutano.
*Kuwa kiungo kati ya Viongozi na membesr wengine.
*Kutoa taarifa za utekelezaji wa shughuli mbalimbalu.
2.KATIBU/NAIBU WAKE.
*Kuwa mtendaji mkuu na kumshauri mwenyekiti katika masuala yote ya kiutendaji.
*Kuandaa dondoo za mikutano na kuitisha vikao.
*Kutunza kumbukumbu zote.
*Kufuatilia utekelezaji wa maazimio ya mikutano ikiwa ni pamoja na kuandaa taarifa mbalimbali na kuziwasilisha sehemu husika.
3.MSIMAMIZI WA NIDHAMU
Kusimamia na kuhakikisha kanuni na taratibu zinafuatwa.
*Kutoa adhabu stahiki kwa waliofanya makosa bila kuonea.
4.KAMATI YA MASHAURIANO.
*Jukumu kubwa ni kuhakikisha wanawashauri vema Viongozi kwa masuala mbalimbali yahusuyo Group.
5.MAADMIN..
*Kulifanya group kuwa acitve kwa kutoa mada au masomo mbalimbali.
*Kubuni mikakati mipya ya kuongeza uhai wa Group.
*Kutoa ushauri kwa Members wenye matatizo mbalimbali kwa kutumia busara.
*Kutoa Mada na kuielezea kwa ufasaha ili members waielewa.
NAOMBA TUWAPE USHIRIKIANO WA KUTOSHA ILI TULIWEKE GROUP LETU KWENYE LEVEL NYINGINE.
ASanteni sana na Mungu Awabariki.....Imeandaliwa na Dr.Mwillongo- ADMIN MKUU
1.MWENYEKITI/MAKAMU WAKE.
*Ndiye mhimili wa utendaji na msemaji mkuu wa GROUP.
*Kuongoza mijadala ktk mikutano na kupitisha na kuhidhinisha dondoo za mikutano.
* Kutoa uamuzi wa mwisho kadri ya busara yake pale mawazo yanapogongana.
*Kufuatilia itekelezaji wa maazimio ya mikutano.
*Kuwa kiungo kati ya Viongozi na membesr wengine.
*Kutoa taarifa za utekelezaji wa shughuli mbalimbalu.
2.KATIBU/NAIBU WAKE.
*Kuwa mtendaji mkuu na kumshauri mwenyekiti katika masuala yote ya kiutendaji.
*Kuandaa dondoo za mikutano na kuitisha vikao.
*Kutunza kumbukumbu zote.
*Kufuatilia utekelezaji wa maazimio ya mikutano ikiwa ni pamoja na kuandaa taarifa mbalimbali na kuziwasilisha sehemu husika.
3.MSIMAMIZI WA NIDHAMU
Kusimamia na kuhakikisha kanuni na taratibu zinafuatwa.
*Kutoa adhabu stahiki kwa waliofanya makosa bila kuonea.
4.KAMATI YA MASHAURIANO.
*Jukumu kubwa ni kuhakikisha wanawashauri vema Viongozi kwa masuala mbalimbali yahusuyo Group.
5.MAADMIN..
*Kulifanya group kuwa acitve kwa kutoa mada au masomo mbalimbali.
*Kubuni mikakati mipya ya kuongeza uhai wa Group.
*Kutoa ushauri kwa Members wenye matatizo mbalimbali kwa kutumia busara.
*Kutoa Mada na kuielezea kwa ufasaha ili members waielewa.
NAOMBA TUWAPE USHIRIKIANO WA KUTOSHA ILI TULIWEKE GROUP LETU KWENYE LEVEL NYINGINE.
ASanteni sana na Mungu Awabariki.....Imeandaliwa na Dr.Mwillongo- ADMIN MKUU
No comments:
Post a Comment