Saturday, May 28, 2016

MAJUKUMU YA VIONGOZI.

1.MWENYEKITI/MAKAMU WAKE.

*Ndiye mhimili wa utendaji na msemaji mkuu wa GROUP.

*Kuongoza mijadala ktk mikutano na kupitisha na kuhidhinisha dondoo za mikutano.

* Kutoa uamuzi wa mwisho kadri ya busara yake pale mawazo yanapogongana.

*Kufuatilia itekelezaji wa maazimio ya mikutano.

*Kuwa kiungo kati ya Viongozi na membesr wengine.

*Kutoa taarifa za utekelezaji wa shughuli mbalimbalu.


2.KATIBU/NAIBU WAKE.

*Kuwa mtendaji mkuu na kumshauri mwenyekiti katika masuala yote ya kiutendaji.

*Kuandaa dondoo za mikutano na kuitisha vikao.

*Kutunza kumbukumbu zote.

*Kufuatilia utekelezaji wa maazimio ya mikutano ikiwa ni pamoja na kuandaa taarifa mbalimbali na kuziwasilisha sehemu husika.

3.MSIMAMIZI WA NIDHAMU

Kusimamia na kuhakikisha kanuni na taratibu zinafuatwa.

*Kutoa adhabu stahiki kwa waliofanya makosa bila kuonea.


4.KAMATI YA MASHAURIANO.

*Jukumu kubwa ni kuhakikisha wanawashauri vema Viongozi kwa masuala mbalimbali yahusuyo Group.


5.MAADMIN..

*Kulifanya group kuwa acitve kwa kutoa mada au masomo mbalimbali.

*Kubuni mikakati mipya ya kuongeza uhai wa Group.

*Kutoa ushauri kwa Members wenye matatizo mbalimbali kwa kutumia busara.

*Kutoa Mada na kuielezea kwa ufasaha ili members waielewa.



NAOMBA TUWAPE USHIRIKIANO WA KUTOSHA ILI TULIWEKE GROUP LETU KWENYE LEVEL NYINGINE.

ASanteni sana na Mungu Awabariki.....Imeandaliwa na Dr.Mwillongo- ADMIN MKUU

No comments:

Post a Comment