Saturday, January 30, 2016

TUMSIFU YESU KRISTO.!?

Leo Tarehe 30-01-2016,Jumuiya ilisali nyumbani kwa Anicet Buleta.

Agenda kuu ya leo ilikuwa ni Uchaguzi wa Viongozi wa Jumuiya na Viongozi wa Vyama vya Kitume watakaoongoza kwa kipindi kingine cha Miaka 3.

Wasimamizi wa Uchaguzi ambao waliteuliwa na Parokia walikuwa ni:-

1.THEOBALD CHINANGUILE

2.DONALD MAKONDA

Waliochaguliwa walikuwa ni kama ifuatavyo:-

VIONGOZI WA JUMUIYA.

1 MWENYEKITI - SIMON JOHN.

2.MAKAMU MWENYEKITI - GLORIA MARTINI.

3.KATIBU - NEEMA GODWIN.

4.NAIBU KATIBU.
DANIEL MINJA.

5.MWEKA HAZINA.
CALISTUS NGULIMI.

No comments:

Post a Comment