1.Ni wajibu wa kila mwanajumuiya kuhudhuria siku ya kusali jumuiya hii ni kwa waamini wote walio na umri kuanzia miaka 14.
2.Mwanajumuiya ambae hatahudhuria Jumuiya kwa kipindi cha wiki 4,bila kuwepo kwa taarifa yoyote Jumuiyani atahesabika kama amejiondoa kwenye Jumuiya.Hivyo Jumuiya haitahusika na chochote ikiwemo maombi yoyote ya huduma za kiroho kwa mwanajumuiya huyo.Mwanajumuiya huyu atapaswa kuomba tena kujiunga na jumuiya kwa kujaza fomu na kujieleza kwa viongozi ikiwa atahitaji kurudi tena.
3.Jumuiya itatoa kiasi cha shilingi 20,000 ikiwa ni mchango wao wa pole kwa mwanajumuiya atakaefiwa na wategemezi wake ambao ni Baba,Mama,Mume,Mke ama Mtoto.
4.Jumuiya itatoa kiasi cha shilingi 20,000 kwa mwanajumuiya atakaepata mtoto (kujifungua) ikiwa ni pongezi zao.
5.Jumuiya itatoa kiasi cha shilingi 20,000 kwa mwanajumuiya atakayeumwa zaidi ya wiki 2,ila ikiwa tu yupo hospitalini lakini pia kwa aliefanyiwa operation.
6.Jumuiya itatoa kiasi cha shilingi 50,000 kama mchango wao wa pongezi kwa mwanajumuiya atakayefunga ndoa.
N:B:- Michango hiyo itatoka kwa wale wanajumuiya ambao wanashiriki kutoa michango hiyo.
2.Mwanajumuiya ambae hatahudhuria Jumuiya kwa kipindi cha wiki 4,bila kuwepo kwa taarifa yoyote Jumuiyani atahesabika kama amejiondoa kwenye Jumuiya.Hivyo Jumuiya haitahusika na chochote ikiwemo maombi yoyote ya huduma za kiroho kwa mwanajumuiya huyo.Mwanajumuiya huyu atapaswa kuomba tena kujiunga na jumuiya kwa kujaza fomu na kujieleza kwa viongozi ikiwa atahitaji kurudi tena.
3.Jumuiya itatoa kiasi cha shilingi 20,000 ikiwa ni mchango wao wa pole kwa mwanajumuiya atakaefiwa na wategemezi wake ambao ni Baba,Mama,Mume,Mke ama Mtoto.
4.Jumuiya itatoa kiasi cha shilingi 20,000 kwa mwanajumuiya atakaepata mtoto (kujifungua) ikiwa ni pongezi zao.
5.Jumuiya itatoa kiasi cha shilingi 20,000 kwa mwanajumuiya atakayeumwa zaidi ya wiki 2,ila ikiwa tu yupo hospitalini lakini pia kwa aliefanyiwa operation.
6.Jumuiya itatoa kiasi cha shilingi 50,000 kama mchango wao wa pongezi kwa mwanajumuiya atakayefunga ndoa.
N:B:- Michango hiyo itatoka kwa wale wanajumuiya ambao wanashiriki kutoa michango hiyo.
No comments:
Post a Comment